His Life & Story

Wastahili Bwana
Reuben Kigame & friends

Praise & Worship Songs

Wastahili Bwana
Reuben Kigame & friends

1. Moyo Wangu Msifu Bwana 4:43
2. Fadhili Zake Ni Za Milele 5:50
3. Neno Moja Nimetamani 6:03
4. Bwana Twakutukuza 5:20
5. Bwana Ni Mchungaji Wangu 8:15
6. Hapana Jina Jingine 5:14
7. Mbingu Zahubiri 5:48
8. Nitainua Macho Yangu 4:46
9. Wasisimua Moyo Wangu 4:23
10. Wastahili Bwana 7:27

For spiritual Help, and Any Further Information, Contact:
Word of Truth Ministries, P.O. Box 3608 ELDORET 30100, Kenya

Back left: Jayne Njeri Yobera (Mrs /solo on #5.) Dorcas Karanja/solo on #3 and ad libs, Debbie Musilwa: Third row: Margaret Wankio Chacha (Mrs) solo on #4, Florence Mureithi (Mrs), Lydia Njeri: Second row: Mercy Kigame (Mrs), Reuben Kigame, Benedict Mwendwa, Charity Mwangi/solo on #4, Leonard Muruli and Samuel Waithaka. Not pictured Chacha Mwita and Geoffrey Wamta.

Acknowledgements:
Words cannot express my gratitude to God for the contributions made by my friends to this project

All songs written and arranged by Reuben Kigame

Keyboard: Reuben Kigame on KORG i3
Lead Guitar: Leonard Muruli
Photos: Cyprian Yobera
Cover Design: Betsy Stafford
Studio Engineer: James Kamanga
Recorded at Kenya Baptist Media, Nairobi

Dedicated to:
Word of Truth Ministries
P.O. Box 3608, Eldoret, Kenya

UNAUTHORISED DUPLICATION PROHIBITED
A- 1 Moyo WAngu Msifu Bwana
CHORUS**Moyo wangu msifu Bwana* Na vyote vilivyo ndani yangu* Lisifu jina lake* Moyo wangu msifu Bwana**Sisahau faida zake* Asamehe dhambi zako* Ayaponya magonjwa yako* Akukomboa kwa hatari zote wee** Niwa rehema na neema* Hakasiriki haraka Bwana* Mashariki ilivyo mbali na magharibi dhambi zetu ameziondoa! (Zaburi 103)

A- 2 Fadhili Zake ni Za Milele
CHORUS**Mshukuruni Bwana kwa kuwa ni mwema* kwa maana fadhili zake* Ni za milele** Shukuruni Mungu wa miungu* (Fadhili zake ni za milele)* Shukuruni Bwana wa mabwana* (Fadhili zake ni za milele)* Amefanya maajbu!* (Fadhili zake ni za milele)* Yeye alifanya mbingu na nchi* (Fadhili zake ni za milele)** Amefanya mianga mikubwa*( )* Jua litawale mchana*( )* Mwezi na nyota usiku*( )* Katandanza nchi juu ya maji*( )* Aliyegawa bahari ya shamu**Akavusha waisraeli*( )* Aliyemshinda farau*( )* Na majeshi yake yote*( )* Yeye aliyetukumbuka*( )* katika unyonge wetu*( )* Atuokoae na watesi*( )* Mungu kweli ni wa ajabu *( )* (Zaburi 136)

A- 3 Neno Moja Nimetamani
Bwana ni nuru yangu* Nimwogope nani?* Yeye ni ngome ya maisha yangu* Sita hofu mtu ye yote**CHORUS** Neno moja nimetamani* Nalo nitakamia* Nikae nyumbani mwake Bwana* Nakumtazama milele** Wajapo maadui zangu* kiniandama watajikwaa nijapozingirwa na majeshi* Sitahofu mimi moyoni* Wewe umsaada wangu* Hutaniacha kamwe* Wazazi wajaponiacha mimi* Wewe Bwana wangu kimbilio* (Zaburi 27)

A- 4 Bwana Twakutukuza
CHORUS** Bwana twakutukuza* milele uhimidiwe!* Utukufu wote ni wako* Hapana mwingine! Bwana tunakupenda* Twatoa uhai wetu* Twakusujudia wewe pekee* E Bwana uinuliwe* Bwana e Bwana wewe ni mkuu* Bwana jinsi gain jina lako ni kuu! Mbinguni nchini* Sifa zako tele!* Hapana hapana Mungu mwingine*** Nikizingatia kazi yako* Sisi, kitu gani hata utujali kwa wema wako!* Hatustahili mapenzi yako* Twakushukuru* Wewe wewe wastahili pekee!* (Sehemu ya Zaburi 8)

A- 5 Bwana Ni Mchungaji Wangu
Bwana ni mchungaji wangu* Sitapungukiwa kitu* Hun’laza penye majani mabichi* Huniongoza kwa maji matulivu** Hunihuisha nafsi yangu* Hun’ongoza kwa njia za haki* Nipitapo bondeni mwa mauti* Sitaogopa wewe u nami** CHORUS** Hakika wema nazo fadhili zitanifuata mimi*Nitakaa nyumbani mwa Bwana* Siku zote za maisha yangu*Gongo lako na fimbo yako* Vitanifariji mimi* Waanda meza mbele yangu* Machoni pa watesi wangu* (Zaburi23)

B- 6 Hapana Jina Jingine
CHORUS** Hapana jina jingine* Lililopewa watu* Chini ya mbingu ili waokoke* Kwa maana jinsi hii Mungu* Aliupenda ulimwengu* Akamtoa mwanawe pekee** ili tuokoke* Yeye ndiye kweli na uzima* Mtu haji kwake Baba ila kwake* Yesu ndiye njia pekee** Jina Yesu lina nguvu* Huzivunja nguvu za giza* Humtia mnyonge nguvu* Huwarudisha wapotevu kila goti litapigwa* Kila ulimi utakiri* Sifa kwake Mkombozi* Sifa kwake Mwanakondoo* (Matendo ya Mitume 4:12)

B- 7 Mbingu Zahubiri
Mbingu zahubiri utukufu wako* Baba Mungu! Anga latangaza kazi ya mikono yako Baba* Mchana husemezana na mchana* Na usiku hutolea usiku maarifa!* Wewe umeumba vitu vyote* Na vyakupendeza wewe Baba Mungu* CHORUS** Maneno ya kinyua changu na mawazo ya moyo wangu** Yapate kibali mbele zako* Bwana Mwamba wangu Mwokozi wangu** Sheria yake Bwana ni kamilifu, huiburudisha nafsi kweli* Ushuhuda wake Bwana ni amini, humtia mjinga hekima* Maagizo yake Bwana ni adili* Huufurahisha moyo* Amri yake Bwana ni safi mno huyatia macho nuru* (Zaburi 10)

B- 8 Nitainua Macho Yangu
CHORUS** Nitainua macho yangu* Nitazame milima* Msaada wangu utatoka wapi?* Msaada wangu u katika Bwana** Bwana ameumba mbingu na nchi* Asiuache mguu wako usongezwe* Hasinzii yeye akulindaye* Haoni usingizi* Bwana ndiye mlinzi wako daima* Yeye uvuli mkono wako wa kuume* Jua halitakupiga mchana* Wala mwezi usiku** Bwana takulinda na mabaya yote* Yeye atalinda nafsi yako* Utokapo na uingiapo wewe* Bwana atakulinda (Zaburi 12)

B- 9 Wasisimua Moyo Wangu
CHORUS** Yesu! Yesu! Wewe wasisimua moyo wangu* Yesu! Yesu! Wewe wayatuliza maisha yangu* Nikikumbuka nilivyofungwa na dhambi* (wasisimua moyo wangu) Nanikiwaza nyororo ulizo kata* (Wayatuliza maisha yangu)* Ulizivunja nguvu zote za giza*( )* ulinijaza na Roho wako* (E Bwana*( ) Umeyaponya magonjwa yote e Bwana* ( ) Umenipa vitu vyema – E Bwana *( )* Umenipa makao na marafiki*( )* Meniahidi makao yako milele*( )* Wathesalonike 5:16-18

B- 10 Wastahili Bwana
CHORUS** Wastahili Bwana!* Wastahili Bwana!* Ulikufa msalabani niokolewe* Wastahili Bwana* Wastahili Bwana!* WAstahili Bwana!* Ulibeba mizigo yangu sasa ni hru (Wastahili Bwana!* Uliacha utukufu wako!! Ukaishi kati yetu kwa mapenzi* Ulipatwa na simanzi ulinifia* Wastahili Yesu**Uliwekwa kaburuni Bwana* Ukafufuka wewe* Bwana wangu* Ulipaa juu Mbinguni na watawala* Nakusifu Yesu* (Ufunuo 5:9-12)